Tiba kwa afya ya mwanamke na uzazi

1. Evecare

Evecare ni tiba asili kutoka india. Imetengenezwa kupitia mimea ya Ashoka, Malabar nut na Lodh tree kutibu changamoto za uzazi.

Faida na kazi za Evecare

  1. Kuchochea upevushaji wa mayai na kuongeza chansi ya kushika mimba haraka
  2. kurekebisha hedhi inayotoka mara mbili kwa mwezi
  3. Inafaa pia kwa wanaotafuta mimba mda mrefu

Gharama ya Evecare ni Tsh 75,000/=dozi ya siku 15.

2.Aloes Compound

Aloes compound ni tiba asili wa wahindi kwa ajili ya changamoto za uzazi na hedhi.

Kazi na faida za Aloes compound

  • Kurekebisha hedhi iliyokoma mda mrefu zaidi
  • Kuongeza uzalishaji wa uteute wa mimba ili kurahisisha kushika mimba
  • Kuweka sawa mzunguko baada ya kutumia uzazi wa mpango
  • Kurekebisha hedhi inayotoka kidogo sana

Gharama ya Aloes Compound ni Tsh 75,000/=dozi ya siku 25

3. Uterus cleansing pills (UCP)

Uterus cleansing pills (UCP) ni Dawa yenye vidonge 2 kama vinavyoonekana kwenye picha hapo juu, ambayo vinatumika kwa wiki moja. Matumizi ya vidonge ni kwa kuweka kidonge ukeni na kutoa kila baada ya siku tatu, unapumzika siku 2 unaweka kidonge kingine .

Vidonge vimetengenezwa kitaalamu kupitia muunganiko wa mimea na kuhifadhiwa vizuri ili kutunza uasili wa dawa pasipo kuwekwa kemkali.
UCP imetengenezwa kiasili ili kutatua changamoto mbalimbali za wanawake kama kuziba kwa mirija, uchafu ukeni ,miwasho na ugumba.

Makundi ya Wanawake wanaotakiwa Kutumia UCP ni pamoja na wanawake wenye

  • Wanaotafuta mimba mda mrefu bila mafanikio
  • Maambukizi sugu kama PID na fangasi ukeni
  • Kuziba kwa mirija ya uzazi
  • Kutokwa na uchafu wenye harufu ukeni na miwasho
  • Waliowahi kutoa mimba au kuharibikiwa na mimba ili kusafisha kizazi
  • Wenye za kizazi kutanuka na makovu kwenye kizazi

Ucp haitumiki kwa

  • Wanawake Bikra
  • Wanawake wajawazito na
  • Waliopo kwenye hedhi

Gharama za vidonge vya UCP ni sh 50,000/=.

4.Lukol

Lukol imetengenezwa kwa mimea ya Asparagus ni Tiba muhimu kwa changamoto za wanawake. Dozi moja ina vidonge 60.

Faida na kazi za Lukol

  • Kutibu Pid sugu
  • Kutibu maambukizi ya bakteria na fungus sugu ukeni
  • Kutibu uchafu mbaya ukeni na
  • Maumivu kwenye uke

Gharama ya Lukol ni Tsh 75,000/= dozi ya week mbili

Ushauri Muhimu

Wenye PID na fungus sugu tunawashauri kutumia Lukol na ucp pamoja. Hii inaleta ufanisi mzuri wa dawa na kupona haraka

angalizo

Kuna wimbi kubwa la wajasiliamali mitandaoni wanauza vidonge vyenye mfanano na hivi vya UCP, tena wanauza kwa bei rahisi sana. Na wengine wanauza evecare fake. Watu hao siyo madaktari wala siyo wataalamu wa afya na wanauza bidhaa feki ambazo ni hatari wa afya yako. Wengi wao hawana hata ofisi, ukipata madhara unakosa pa kuuliza. Kuwa makini na watu hao, wamejaa sana insta na fb.

Wasiliana nasi kwa whatsapp no 0678626254/= Kuanza tiba

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *