Categories
Tendo la ndoa

Maumivu kwenye Tendo baada ya kujifungua

maumivu kwenye tendo baada ya kuzaa

Kwanini unapata maumivu kwenye tendo baada ya kujifungua? Ukiwa na maswali mengi kuhusu tendo la ndoa baada ya kuzaa, hapa ndio mahali pako kupata maelezo ya kina.

Lini uanze kufanya tendo baada ya kujiungua?

Mwili wa mwanamke unapitia mabadiliko mengi sana baaada ya kushika mimba na kujifungua. Wawanake wengi wanakuwa na shauku sana ya kuanza tendo na kujua utofauti wake pale wakishazaa. Kwa kiasi kikubwa nesi kliniki atakushauri usifanye tendo kwa week 6 za kwanza.

Kila mwili unapona kwa spidi yake, kuna wengine watapona mapema na hisia kurudi haraka, kuna wenine watachukua miezi mingi. Muhimu ni kufatilia tu afya yako na usihaakishe kuanza tebdo la ndoa.

Sababu 5 kwanini unapata maumivu kwenye Tendo baada ya kuzaa

1.Mipasuko na michubuko

Wanaojifungua kawaida wanaweza kupata michubuko na mipasuko na wengine huhitaji kuongezewa njia ili mtoto atoke, hasa kama mtoto ni mkubwa. Endapo utaongezewa njia, yaweza kuchukua mda mrefu zaidi kupona ,hata miezi miwili.

Endapo utahisi maumivu kwenye tendo na ulionezewa njia, basi jua kwamba bado hujapona vizuri mshono wako na unatakiwa kujipa muda zaidi.

2.Ukavu ukeni unapelekea maumivu kwenye tendo

Baada ya mwanamke kijifungua kiwango cha hormone ya Oytocin huongezeka na kupunguza homoni ya estrogen(homoni ya uteute). Oytocin inasaidia kuongeza ukaribu wa mama na mtoto. Kitendo cha kupungua estrogen kinafanya uke kuwa mkavu na maumivu kwenye tendo.

Kupungua kwa estrogen pia kunaweza kufanya mwanamke kukosa hamu ya tendo. Unaweza kujaribu vilainishi salama ili kupungua maumivu na kufanya tendo muda mfupi.

3.Kutanuka Mlango wa kizazi (cervical dilation)

Kufanya tendo wakati mlango wa kizazi umetanuka yaweza kupelekea maumivu na kuongea hatari ya kupata maambukizi. Kupunguza hatari hii, jipe muda mrefu wa kupumzika baada ya kuzaa ili upone vizuri.

4.Mifupa ya nyonga inapelekea maumivu kwenye tendo baada ya kujifungua

Ujauzito hupelekea mabadiko mengine ya mwanamke ikiwa ni pamoja na nyonya kutanuka. Hali hii yaweza kufanya upate maumivu makali kwenye tendo. Kama maumivu yanaendelea kwa miezi mingi hakikisha unarudi hospitali kufanyiwa vipimo zaidi..

5.Upasuaji unachangia maumivu kwenye tendo baada ya kujifungua

Baada ya kuzaa kwa upasuaji, utabaki na mshono kwenye eneo la tumbo la chini. Mshono huu unaweza kuchukua miezi kadhaa kupona vizuri. Endapo utawahi kuanza tendo, lazima utapata maumivu makali. Hakikisha unapumizka walau miezi mi3 ndipo uanze tendo kama ulizaa kwa upasuaji.

Hatua za kufanya kupunguza maumivu kwenye tendo baada ya kujifungua

  1. Kuwa mbunifu hasa kwenye staili za mapenzi. Tumia staili zinaokupa raha zaidi bila kutumia nguvu kubwa.
  2. Fanya mazoezi ya kegel; mazoezi haya yaasaidia kuimarisha nyonga na misuli. Fanya walau kila siku kupata matokeo mazuri
  3. Tumia vilainishi pale inapobidi. Kwenye vilainishi tumia mafuta ya nazi yasiyo na harufu. Usitumie kabisa mafuta mgando, wala mate na mwisho kabisa
  4. Kuwa muwazi ongea na mpenzi wako ikiwa unapata maumivu, atakusaidia kutafuta ufumbuzi wa tatizo.

Kwa ushauri na Tiba asili tuandikie kwa whatsapp namba 0678626254

Categories
Tendo la ndoa

Mbinu 5 za Mwanamke kufika kileleni mara nyingi

mwanamke kufika kileleni

Japo kufika kileleni kwa wakati mmoja, kwa wote mwanamke na mwanaume ni ngumu lakini bado inawezekana kwa kuzingatia mbinu chache.

Kiujumla wanawake wanachukua mda mefu zaidi kufika kileleni kuliko wanaume, inaweza kuzudi hata dakika 15.

Kwanini wanawake wengi hawafiki kileleni??

Takwimu zinasema katika wanawake watatu basi mmoja wapo ni ngumu sana kumfikisha kileleni. Hii ni kwa sababu wanawake wanahitaji kusisimuliwa kwenye kisimi ili kumwaga. Na kisimi kipo eneo la juu ya uke, na wakati wa sex ni ngumu kwa mwanaume kusugua kisimi kwa uume.

Sababu ingine kwanini wanawake wanashindwa kufika kileleni ni sababu wanatakiwa kujua nini kinawafanya wasisimke na kufika kileleni. Unatakiwa kujua jinsi gani mwili wako unafanya kazi, na kiungo gani ukitomaswa au kulambwa unafika haraka.

Mwanamke kufika kileleni: Faham kwanza mwili wako

Kwahivo kabla hujajifunza kufika kilele mara 3 au 4, anza kwa kujua kipi kinakuamisha zaidi hisia kwa kupiga punyeto. Fanya majaribio kwa kusugua kisimi na kuona kama unafika kileleni haraka. Unatakiwa kumsoma mpenzi wako kujua jinsi gani umfikishe kileleni na kwa muda gani.

Faida za kufika kileleni kwa pamoja

Kufika kileleni pamoja inaweza kuwa tukio moja tamu na la kufurahia sana kwa wapenzi wote. Na ili kufanikisha hili ni lazima wote muwe mnawasiliana wakati wa tendo ili kujua kama mwenzako amekaribia au la. Unatakiwa kuongea na mpenzi wako kujua kipi kinaamsha hisia zake, kipi umfanyie wakati huo na kipi usifanye.

Mwanaume ahusike ili mwanamke kufika kileleni

Pia wewe kama mwanaume ili kufikisha mwanamke vizuri unatakiwa usiwe mbinasi, weka hisia za mwenzako mbele kuliko za kwako. Jishikilie kwana usimwage kabla mwanamke hajamwaga. Lazima mjuane vizuri kabla hamjafikia kwenye tendo la kufika kileleni pamoja

Kufika kileleni pamoja, inaongeza ile nguvu ya mahusiano na kufanya muwe imara na kupendana zaidi. Yani mahusiano yenu yatakuwa imara na haitakuwa rahisi kwenu kutengana.

Mbinu za kufika kileleni mara nyingi zaidi

Kuacha kumkamia mpenzi wako, kufurahia wakati uliopo na kuweka focus yako kwenye viungo vya kusisimuliwa. inasaidia sana kufika kileleni mara nyingi. Kuna njia zingine hapa chini za kumfanya mwanamke kufika kileleni mara nyingi.

  1. Ondoa wazo wa kutaka kufika kileleni mara nyingi kwenye akili yako: Kwa namna unavokamia zaidi kutaka ssana kumwaga maa nyingi ndipo unapokwama zaidi kufanikisha. Acha mwili wenyewe ujiendeshe mpakaufike kileleni mara 3 au 4. Badala yake focus kwenye kulifurahia tendo husika na mpenzi wako. Kwenye akili yako chukulia hili la kufika kilele mara 2 au 3 kama bonus ya tendo lenyewe.
  2. Jifunze kipi kinamfanya mpenzi wako ajisikie raha: Kufika kileleni mara nyingi ni zaidi kwenye kumzingatia mpenzi wake kuliko kujizingatia wewe. Hii itakufanya kuondoa ile presha ya ndani na hivo kukusaidia ufike kilele mara nyingi zaidi.
  3. Hakikisha mnaendana wakati wa tendo na mpenzi wako: Mawasiliano ni muhimu zaidi wakati mnaendelea na tendo. Kadri unavosikiliza mwili wa mpenzi wake ndivo ambavyo mtazidi kuendana na kufika kilele pamoja. Kama utahisi unakaribia kufika kilele na mpenzi wako bado sana basi punguza kasi, na focus kwenye kumsaidia mwenzako nae afike kilele. Muda huo sikilizia na upumuaji w ampenzi wako, hii itakwambia kiwango chake cha kusisimka.
  4. Tumia vilainishi pale inapobidi: Kilainishi kinaongeza msisimko kwa mwanamke hasa mwenye shida ya ukavu ukeni. Kilainishi kinaidia pia mwanamke atokwe na majimaji ukeni kwa kupunguza ukavu. Unaweza kutumia kilainishi kwenye kisimi tu ili ukisuue vizuri. Kilainishi pia kinaweza kutumia kwa kusugua mwanamke ndani kabisa ya uke na kumfanya afike kileleni kwa urahisi.
  5. Weka umakini kwenye kisimi: Kisimi ndio kiungo chenye msisimko mkubwa zaidi kwa mwanamke kuliko viungo vingine. Kwahivo aidha kwa kutumia ulimi au vidole hakikisha unaisimua kisimi mpaka mwanamke afike kileleni. Kama mwanamke ni mgumu kufika kileleni basi msugue kisimi kwa dakika 10 mpaka 15 kabla ya kuanza tendo lenyewe.
Categories
Tendo la ndoa

Kwanini Uende Haja Ndogo Baada ya Tendo

haja ndogo baada ya tendo

Kwanini unatakiwa kwenda haja ndogo baada ya tendo?

Kwenye makala hii fupi tutaeleza kwanini unatakiwa kupata mkojo baada ya tendo. Na uhusiano wake na magonjwa kama UTI.

Je nini faida za kwenda haja ndogo baada ya tendo?

Ni muhimu sana mwanamke kjwenda haja ndogo baada ya tendo. Hizi ni sababu kwanini ufanye hivo

1.Kuepuka UTI

UTI ni maambukizi kwenye viungo vya njia ya mkojo kama kibofu, mirija ya mkojo na figo. Maambukizi haya yanatokea pale bakteria wanapokua kupita kiasi kwenye njia ya mkojo na kuwa wengi kwenye kibofu. Kama kinga yako ya kwenye njia ya mkojo ikifeli , bakteria hawa hukua na kuleta maambukizi.

Je kwanini wanawake wanapata zaidi UTI?

UTI inawapata zaidi wanawake kutokana na sababu hizi

Maumbile ya mwanamke: Mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu mpaka kwenye uke ni mfupi zaidi kwa mwanamke na hivo kufanya njia ya bakteria kusafiri mpaka kwenye kibofu kuwa haraka zaidi.

Uzazi wa mpango wa kisasa: Wanawake wanaotumia zaidi kitanzi kupanga uzazi wanaweza kupata maambukizi kirahisi

Ngono: hatari ya kuugua UTI ni kubwa zaidi kwa mwanamke anayefanya tendo kuliko yule aliepumzika kufanya tendo

Kukoma hedhi(menopause): Kupungua kwa uzalishaji wa homoni ya estrogen, inapelekea kupungua uteute ukeni na hivo uke kuwa kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi.

Sababu zingine zinazopelekea mtu augue UTI kirahisi ni pamoja na

Maumbile yasiyo ya kawaida kwenye njia ya mkojo: watoto waliozaliwa na hitilafu kwenye mfumo wa mkojo wanaweza kupata maambukizi kirahisi

Kuziba kwa njia ya mkojo: changamoto kama mawea ya figo yanaweza kuepelekea kuziba njiani na hivo kufanya mkojo kubakizwa, mkojo unapobakizwa mda mrefu inasababisha maambukizi.

Matumizi ya kifaa cha kusaidia kutoa mkojo yani catheter hasa kwa wagonjwa wa tezi dume na waliopata kiharusi

Dalili za UTI

Dalili kuu za UTI ni pamoja na

  • kukojoa mara kwa mara na kutoa mkojo kidogo
  • maumivu chini ya kitovu
  • mkojo wa njano wenye harufu
  • kuhisi uchovu sana
  • kuungua na maumivu wakati wa kukojoa
  • kupata hamu ya kwenda kokojoa mara kwa mara

Mrija wa mkojo kwa mwanamake

Mirija huu huitwa urethra, unasaidia kutoa mkojo kutoka kwenye kibofu kwenye njie ya uke. Kwa mwanamke mrija huuni mfupi(sm 2.5 mpaka 4) na kwa mwanaume ni (sm 15 mpaka 20). Hii inawafanya wanawake kuwa kwenye hatari zaidi ya kuugua UTI kuliko wanaume, kwasababu ili maambukizi yatokee ni lazima bakteria wapande mpaka kwenye kibofu. kama njia ni fupi maana yake ni rahisi zaidi kwa bakteria kufika kwenye kibofu na kwenda mpaka kwenye figo.

Kibofu cha mkojo

Kibofu cha mkojo n mfumo ulipo katikati ya mifupa na misuli ya nyonga, na kazi yake ikiwa ni kuhifadhi mkojo kutoka kwenye figo. Kibofu kinapojaa mkojo na kutanuka sana, kinatuma taarifa kwenye ubongo ili ukakojoe.

Wakati wa tendo la ndoa, bakteria wanaweza kuingia kwenye mrija wa mkojo na kupngeza chansi yako ya kuugua UTI. Ndiomaana ni muhimu sana baada ya tendo uende kukojoa ili kuflash vimelea kabla hawajaleta madhara.

Pia kufanya tendo wakati kibofu cha mkojo kimejaa kinapelekea kulegea kwa misuli ya kushikilia mkojo. Yani inafikia wakati unashindwa kuzuia mkojo kiasi kwamba ukocheka, ukipiga chanfya au hata kwenye tendo mkojo unakuponyoka.

Hakikisha unakojoa kabla na baada ya tendo siku zote.

Kwa ushauri na Tiba asili Tuandikie whatsapp namba 0678626254.

Categories
Afya ya mwanamke na uzazi Tendo la ndoa Uncategorized

Nini kinatokea baada ya kupoteza bikira yako?

kupoteza bikira

Bikira ni kitu gani??

Tafsiri iliyozoeleka ya bikira ni mwanamke ambaye hajawahi kabisa kufanya tendo la ndoa katika maisha yake. Kwahivo mwanamke anapoingiliwa ukeni kwa mara ya kwanza anapoteza ile bikira yake.

Nini kinatokea mwilini baada ya kupoteza bikira?

Tendo la ngono laweza kupelekea mabadiliko mengi ya mwili. Hapa chini ni maelezo ya kinatokea

1.Mabadiliko ya ukeni

Watu wengi huamini kwamba tendo la ndoa linafanya uke kutanuka na kuwa mkubwa ama kulegea. Kumbuka uke unaweza kutanuka na kuzaa mtoto na kisha ukarudia hali yake ya mwanzo. Uume ni mdogo sana ukilinganisha na mtoto na hauwezi kufanya uke kulegea.

Kwa baadhi ya wanawake wanapoanza tendo hawapati raha, hasa kama uke wako ni mkavu naa hukuandaliwa vizuri. Hakikisha unafanya michezo mingine ya kutomasana kwa mda mrefu kabla ya kuanza tendo lenyewe.

2.Matiti

Kwa baadhi ya watu kufanya tendo kunaweza kupelekea matitti na chuchu kuvimba. Hii inatokea kwasababu zile hisia na muhemko wa kutaka kufanya tendo inapelekea mzunguko wa kasi wa damu kuelekea kwenye matiti, uke na uume pia.

3.Mabadiliko ya homoni

Wakati wa tendo ubongo unatoa vichocheo vingi sana kuelekea kwenye damu.Kazi ya vichocheo hivi ni kukufanya ujiskie raha ya tendo lenyewe na kuongeza upendo kati yako na mpenzi wako.

Je unaweza kushika mimba siku ya kwanza kufanya tendo?

Jibu ni ndio, unaweza kushika mimba siku ile tu ya kwanza kukutana na mwanaume. Mbegu tu zikiingia ndani ya uke unaweza kushika mimba. Kama hutaki kushika mimba mapema basi hakikisha unatumia condom muda wote wa tendo ama waweza kumeza p2.

Je ni umri gani sahihi wa wanawake wengi kupoteza bikira?

Wastani wa umri wa kupoteza bikira kwa wanawake wengi ni kati ya miaka 16 na 17. Katika umri wowote ule, kufanya tendo kwa mara ya kwanza ni jambo la tofauti sana na hisia zake zinatofautiana. Siyo kila mtu hufurahi tendo siku ya kwanza, wengi hupata maumivu na kuhisi kujuta. Na wengine hupata mawazo sana na hofu pengine wameshapata mimba au magonjwa ya zinaa

Jinsi ya kufanya tendo na kupoteza bikira bila maumivu

Hakuna njia moja ya kuondoa maumivu asilimia 100 siku ya kwanza unapofanya tendo, ila kuna vitu vichache vya kufanya kupunguza maumivu. Ukiwa na mpenzi asiye na haraka ya kuingiza uume, na pia awe mwelewa itakusaidia sana kufurahia tendo na kupunguza maimivu siku ya kwanza. Kuna mambo mengine mengi waweza kufanya yakakusaidia, endelea kuyasoma hapa chini

1.Ongea na mpenzi wako kabla ya tendo

Usiogope kuongea na mtu wako namna unavojiskia, vitu unavyoogopa na usichokipenda. Una kila haki ya kujieleza kwa uwazi ili akuvumilie. Kuongea na mwenzio kunasaidia kupunguza ile hofu ulokuwa nayo kuhusu kufanya mapenzi.

2.Fanya maandalizi ya kutosha

Hakika uke unaloa vizuri na kuwa mlaini sana kabla ya kuingiliwa na mwenzako hii inapunguza sana maumivu. Maandalizi haya ni pamoja na michezo kadhaa mkiwa uchi, kushikana sehemu za siri, kunyonyana uke na uume, na ndimi na kuambiana maneno matamu.

Chukueni walau nusu saa mpaka lisaa la maandalizi kabla ya tendo, msiende haraka.

3.Jaribu mikao na style tofauti za kufanya tendo

Kama unapata maumivu kwenye aina moja ya style ya kufanya tendo jaribu kubadili na utumie style zingine. Hizi ni baadhi ya style za kufanya tendo.

Style ya kwanza:Tumia mto chini ya mgongo na kukufanya ubinuke kidogo. Kunja magoti kisha chanua miguu yako ili uke ubaki wazi.

Style ya pili:Mwanamke kushika ukuta, na kubinuka kidogo kisha mwanamume anakunja kwa nyuma na kumuingilia ukeni

Style ya kifo cha mende: Hii ni nzuri kwa kuanzia, karibu kila mwanafunzi wa mapenzi anaanzia hapa: ukizoea hii style ya mwanamke kulala chini na mwanaume kuja kwa juu ndipo uanze kujaribu style zingine

4.Usijiwekee malengo makubwa kivile

Kutokana na kukua kwa teknoligia, lazima utakuwa umeshatazama picha na video za ngono namna watu wanavoingiza kwenye movie chafu za ngono. Na kwenye akili yako umeweka matazamio flani, kwamba unachokiona ndicho kitatokea utakapioanza mapenzi. Hii siyo kweli, wanaoigiza na kurekodi vidoe za ngono wanatumia madawa kuamsha hisia zao na ni wazoefu sana kufanya tendo.

Usijilinganishe nao, kuwa mpole na jipe muda, huwezi kuwa mzoefu kwa siku moja. Siku ya kwanza unaweza kushindwa kabisa kufanya tendo na baadae ukaweza. Hivo tuliza mihemko na ufanye taratibu

5.Hakikisha Eneo la kufanya tendo ni tulivu

Siku yako ya kwanza kufanya tendo inatakiwa kufanyika mahali pazuri pasio na kelele wala vitu hatari.Yatakiwa iwe sehemu ambapo wote wawili mke na mme mnatulia kiakili. Siyo kwenu vichaka au kwenye gari.

Kitanda ni sehemu nzuri zaidi ya kufanya tendo siku ya kwanza. Fanya usafi kwenye chumba chako na kuondoa kelele zozote. Hakikisha hakuna watu wengi eneo hilo na uzime simu. Unaweza kufungulia redio kwa mbali ili upate mziki wa kukusindikiza.

Categories
Afya ya mwanamke na uzazi Tendo la ndoa

Maumivu ukeni wakati wa tendo

maumivu ukeni wakati wa tendo

Tendo la ndoa ni moja na tukio tamu na la kufurahisha sana katika maisha ya mwandamu. Tendo linaimarisha ukaribu na upendo baina ya mke na mume. Pamoja na hayo ,watu wengi wanapata maumivu makali wakati wa tendo na hawafurahii kabisa. Kuna mambo mengi yanapelekea maumivu ukeni wakati wa tendo. Soma zaidi kujua nini cha kufanya kuondoa tatizo.

Maumivu kwenye tendo la ndoa ni kitu gani hasa?

Kitaalamu huitwa dyspareunia ni neno linalomaanisha maumivu ya via vya uzazi wakati wa tendo au baada ya tendo. Tatizo hili linawapata karibu asilimia 75 ya wanawake wote duniani.

Maumivu kwenye tendo yanaweza kuvuruga mahusiano, kukufanya ujihisi mpweke na huna thamani na kukosa kujiamini mbele ya mpenzi wako. Baadhi ya wanawake huamua kutojihusisha tena na tendo la ndoa baada ya kupata maumivu.

Pamoja na kwamba tatizo linatibika kwa kiasi kikubwa, watu wengi ni waoga sana kuelezea changamoto hii kwa kuogopa aibu ama kudharaulika.

Dalili za maumivu kwenye tendo

  • maumivu ya haraka
  • hali ya kuungua ukeni
  • kukosa hamu ya tendo
  • kushindwa kufika kileleni
  • maumivu ya tumbo

Je haya maumivu yanatokea ukeni tu?

Maumivu kwenye tendo yanatofautiana kwa kila mtu. Baadhi ya wanawake wanahisi maumivu wakati uume unaingia, na wengine wanapata maumivu wakiguswa tu kwenye via vya uzazi. Baadhi wanapata maumivu ya tendo baada ya kukoma hedhi.

Maumivu yanaweza kutokea

  • ndani ya ukeni
  • kwenye mashavu ya ukeni
  • chini ya mgongo
  • ndani ya kizazi
  • kwenye nyonga
  • tumboni chini ya kitovu na
  • kwenye ukuta unaotenganisha uke na mkundu

Baadhi ya wanawake wanapata maumivu baada tu ya kumaliza tendo, na wengine wakati wa kukojoa.

Nini kinapelekea maumivu kwenye tendo?

Baadhi ya sababu kubwa zinazopelekea mwanamke kupata maumivu ni pamoja na

1.Ukavu ukeni

Hii ni sababu kubwa zaidi ya maumivu kwenye tendo kutokana na kukosekana na ute ukeni na hivo msuguano kuwa mkubwa. Ukavu ukeni inatokea zaidi baada ya kukoma hedhi. Mabadiliko ya homoni yanapelekea kupungua kwa uzalishaji wa ute kwenye uke baada ya kukoma hedhi.

Sababu zingine zinazopelekea ukavu ukeni ni pamoja na kutumia njia za kisasa kupanga uzazi, kunyonyesha, stress na mwanamke kutoandaliwa vya kutosha.

2.Maambukizi

Maambukizi aina tofauti yanaweza kupelekea maumivu kwenye tendo. Maambukizi haya ni pamoja na

  • maambukizi ya bakteria ya ni bacterial vaginosis
  • fungus ukeni: dalili zake ikiwa ni pamoja na kutokwa uchafu unaoganda mzito, muwasho
  • kisonono
  • UTI kali
  • PID na
  • Chlaydia

Pia magonjwa mengine kwenye kizazi yanaweza kupelekea maumivu kwenye tendo. Magonjwa haya ni pamoja na

  • Endometriosis- yani ukuta wa ndani wa kizazi kuvimba
  • vaginismus: hii ni hali ya uke kugoma kuruhusu kitu chochote kuingia
  • Fibroids: Vimbe kwenye ukuta wa kizazi
  • Ovarian cyst: Vimbe kwenye mayai
  • Bartholin abscess: hizi ni vimbe kweye tezi za uke
  • Cervicitis: yani maambukizi kwenye mlango wa kizazi na kupelekea kuvimba kwake

Kumbuka magonjwa haya ni ngumu kwako kuyagundua ukiwa nyumbani. Ni mpaka kwenda hospitali, na kufanyiwa vipimo ndipo daktari atakwmabie endapo una uvimbe nk

Nini cha kufanya kuondoa maumivu?

Tiba ya tatizo inategemea na chanzo chake. Unapojiskia vibaya, hatua ya kwanza ni kwenda hospital na kuonana na daktari ili akusaidie kugundua chanzo cha tatizo.
Daktari atakuuliza baadhi ya maswali kujua historia ya tatizo, na aatapendekeza vipimo vya kufanyiwa.

Baada ya vipimo ndipo utapewa dawa sahihi ili uanze tena kufurahia tendo la ndoa.

Mawasiliano baina ya wapenzi

Mawasiliano ni nguzo muhimu sana kwenye mahusiano, itasaidia wapenzi kujuana kuhusu changamoto zao. Mpenzi wako ataweza kukuvumilia wakati unaendelea na tiba. Kumbuka kuendelea kufanya tendo wakati unapata maumivu ni mbaya, kwani itakuathiri kisaikolojia na kukfanya uchukue tendo la ndoa.

Kama chanzo cha tatizo ni ukavu ukeni, ni muhimu sana mtumie muda mwingi kwenye kuandaana.

Weka kwenye akili kwamba kutumia vilainishi vya kuganda kulainisha uke, yaweza kuleta madhara kwenye tishui laini za uke. Ni vizuri kutumia vilainishi vye maji maji pamoja na condom.

Kama maumivu unapata siku kadhaa tu, basi jaribu kubadili style ya kufanya mapenzi. Ongea na mwenzi wako akuingilie taratibu bila nguvu nyingi.

Lini unatakiwa kumwona daktari?

Muone daktari haraka endapo tatizo linajitokeza mara kwa mara, na maumivu yanazidi kila unapojaribu kufanya tendo. Pia kama unajihisi unaugua magonjwa kama fungus, unatokwa uchafu usio kawaida ana unapata maumivu ya tumbo muone daktari haraka.

Kwa ushauri na Tiba tuandikie kwa whatsapp namba 0678626254